1 Samuel 1:24

24 aBaada ya mtoto kuachishwa kunyonya, Hana akamchukua huyo mtoto, akiwa mdogo hivyo hivyo, pamoja na fahali wa miaka mitatu, efa ya unga
Efa moja ya unga ni sawa na kilo 22.
na kiriba cha divai, naye akamleta mtoto kwenye nyumba ya Bwana huko Shilo.
Copyright information for SwhNEN